Saturday, February 26, 2011

GMA

Where real musicians belo...

Maunda Zoro kumiliki Bendi Tanzania

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Maunda Zoro asema hivi karibuni ataanzisha Bendi yake mwenyewe. Akizungumza na Mwananchi Jumapili hivi karibuni, Maunda alisema;  “Wazo la kuanzisha bendi nilipewa na kaka (Banana Zoro), lakini taratibu za kuanzisha bendi hiyo bado kidogo kukamilika. Alisema kuna baadhi ya vifaa havijakamilika, lakini anategemea hadi Aprili mwaka huu...

Mwalimu wa muziki Geofray Charahani wa AMTZ akicheza Vio...