Saturday, June 30, 2012

Exclusive uchambuzi: Wazazi wa Dogo Janja fuatilieni maendeleo yake, msiwaachie Mapromota

Dogo Janja Na Dotto Kahindi-Thisday Magazine, Blog za mikoa Mwezi Juni mwaka huu umekuwa ni mwezi wa huzuni na furaha kwa nyota wa muziki wa Bongo Fleva , Abdul Abubakar Chande ‘Dogo Janja’ kufuatia kutimuliwa na Baba yake kimziki Madee na baada ya siku chache kurejea Dar es Salaam na kuingia mkataba mpya na kampuni ya Mtanashati Entertainments. Dogo Janja alitimuliwa...