
Dogo Janja
Na Dotto Kahindi-Thisday Magazine, Blog za mikoa
Mwezi
Juni mwaka huu umekuwa ni mwezi wa huzuni na furaha kwa nyota wa muziki
wa Bongo Fleva , Abdul Abubakar Chande ‘Dogo Janja’ kufuatia kutimuliwa
na Baba yake kimziki Madee na baada ya siku chache kurejea Dar es
Salaam na kuingia mkataba mpya na kampuni ya Mtanashati Entertainments.
Dogo
Janja alitimuliwa...