Monday, July 16, 2012

SERENGETI, MIKUMI, MANYARA TUNASHINDWA NINI KUFANYA HAYA?

Barabara kuu ya Ecoduct De Woeste Hoeve A50, Netherlands; Nchi ya Netherlands inaidadi kubwa ya wanyama zaidi ya 600 ambao hutumia daraja hilo la aina yake kuvuka barabara. HUU SI UHARIBIFU WA MAZINGIRA? ...

BREAKING Newzz>>>CHEGE apata ajali mbaya ya gari usiku huu Temeke

BREAKING: Msanii CHEGE apata ajali mbaya ya gari usiku huu Temeke Dar es salaam, ameumia ila gari halifai kabisa. Chanzo ni mtu wa pikipiki Dj Sek...

Saturday, July 14, 2012

Afande Sele azijibu shutuma za 20 Percent

Uswahiba kati ya wasanii wawili wa Bongo Flava nchini, Afande Sele na 20 Percent umeingia dosari baada ya kutupiana maneno kila mmoja kwa nyakati tofauti kwenye vyombo vya habari. Maneno hayo yalianza wiki iliyopita baada ya Afande Sele kuzungumza na Clouds FM na kudai kusikitishwa na kitendo cha swahiba wake 20 Percent cha kugoma kutumbuiza kwenye tuzo za muziki...

MAFANIKIO YA CHAMELEONE KATIKA MAISHA

. Baada ya kukutana na staa wa muziki kutoka Uganda Jose Chameleone nimegundua kuna mambo mengi nilikua nayasikia tofauti na kuyasoma ambayo yeye ameyazungumza tofauti kabisa.Nilikua sijui, kumbe Chameleone alianza kuenjoy kuwa staa kuanzia mwaka 2000 japo alianza muziki 1995, 2003/2004 ndio alianza kupata pesa na hapo ndipo maajabu yalianza kutokea kwa kuanza...

Friday, July 13, 2012

MAFUNZO YA MUZIKI 2012

...

Tuesday, July 3, 2012

MAFUNZO YA KUPIGA ALA ZA MUZIKI

ACTION MUSIC TANZANIA (AMTZ) YENYE NAMBA YA USAJILI BST/4733 ITATOA MAFUNZO YA UPIGAJI WA ALA MBALIMBALI ZA MUZIKI (KWA VITENDO) KWA WATU WOTE MAFUNZO YATAANZA: TAREHE 16/07/2012 MAHALI: IDARA YA SANAA NA SANAA ZA MAONESHO (FPA) CHUO                      KIKUU CHA...