Barabara kuu ya Ecoduct De Woeste
Hoeve A50, Netherlands; Nchi ya Netherlands inaidadi kubwa ya wanyama zaidi ya 600
ambao hutumia daraja hilo la aina yake kuvuka barabara.
HUU SI UHARIBIFU WA MAZINGIRA?
...
Uswahiba kati ya wasanii wawili wa Bongo Flava nchini,
Afande Sele na 20 Percent umeingia dosari baada ya kutupiana maneno kila mmoja
kwa nyakati tofauti kwenye vyombo vya habari.
Maneno hayo yalianza wiki iliyopita baada ya Afande Sele
kuzungumza na Clouds FM na kudai kusikitishwa na kitendo cha swahiba wake 20
Percent cha kugoma kutumbuiza kwenye tuzo za muziki...
.
Baada ya kukutana na staa wa
muziki kutoka Uganda Jose Chameleone nimegundua kuna mambo mengi nilikua
nayasikia tofauti na kuyasoma ambayo yeye ameyazungumza tofauti kabisa.Nilikua sijui, kumbe Chameleone
alianza kuenjoy kuwa staa kuanzia mwaka 2000 japo alianza muziki 1995,
2003/2004 ndio alianza kupata pesa na hapo ndipo maajabu yalianza
kutokea kwa kuanza...
ACTION
MUSIC TANZANIA (AMTZ) YENYE NAMBA YA USAJILI BST/4733 ITATOA MAFUNZO YA UPIGAJI
WA ALA MBALIMBALI ZA MUZIKI (KWA VITENDO) KWA WATU WOTE
MAFUNZO YATAANZA:
TAREHE 16/07/2012
MAHALI: IDARA YA SANAA
NA SANAA ZA MAONESHO (FPA) CHUO
KIKUU CHA...