Action
Music Tanzania inayofuraha ya kukualika kuhudhuria onesho la muziki
litakalofanyika siku ya Ijumaa ya tarehe saba mwezi wa tatu (07.03.2014)
kwenye idara ya sanaa na sanaa za maonesho (FPA) Chuo Kikuu cha Dar es
Salaam kuanzia saa kumi na mbili na nusu jioni hadi saa mbili usiku
(12:30-2:00), Kiingilio ni bure.
Onesho
hilo limeandaliwa na AMTZ litawahusisha...