Wednesday, November 21, 2012

Exclusive Photos: Behind the scenes ya video mpya ya Makamua – Bado Kujuana

Makamua ametoa picha exclusive za behind the scenes ya video yake mpya inayotarajiwa kutoka rasmi leo. Picha hizi ni za wimbo wake mpya “Bado Kujuana” ambayo amemshirikisha msanii mwenzake Dr Eddo ambaye ndiye aliyefanya production zote mbili za audio na video ambapo picha zote za video zimechukuliwa jijini Mwan...

Video : King Zilla ft Marco Chall – Nataka

...

SKYLIGHT BAND YAZIDI KUCHENGUA MASHABIKI @ THAI VILLAGE - MASAKI JIJINI DAR.

Pichani Juu na Chini Mashabiki wa SKYLIGHT BAND wakisakata mduara kwa raha zao katika ukumbi wa Thai Village jijini Dar es salaa...

Sunday, November 18, 2012

JB Mpiana kufanya Onyesho Dar Novemba 30

Mkurugenzi wa QS Muhonda J Entertainment, Joseph Muhonda (katikati) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) katika ukumbi wa Millennium Business Park, Kijitonyama jijini Dar es Salaam mapema leo asubuhi wakati akizungumzia onyesho la Mwanamuziki wa Kimataifa kutoka nchini Congo,JB Mpiana kwa kushirikiana na Mashujaa Band litakalofanyika katika viwanja...

Rose Muhando Kutikisa Tamasha la Shangwe Kagera

MWIMBAJI maarufu wa muziki  wa Injili nchini, Rose Muhando na mwenzake Enock Jonas (Zunguka) wanatarajiwa kutia chachandu katika tamasha la kwanza kubwa kufanyika Mkoani Kagera.Tamasha hilo la Shangwe Kagera lina lengo la kuielimisha jamii na kuamsha mwamko wa kusaidia watoto yatima na wanaoishi katika maisha magumu.Mkurugenzi wa Kampuni ya Beula Communications Ltd, ambao...

Saturday, November 17, 2012

Alliance Francois na onesho la utamaduni

na Khadija Kalili. KITUO cha Utamaduni cha Ufaransa ‘Alliance Francois’ kimeandaa onesho la bure la muziki wa utamaduni wa Mwafrika katika kituo chake kilichoko Barabara ya Ali Hassan Mwinyi, jijini Dar es Salaam leo jioni. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa kituo hicho, Michael Shuma, aliwataja wasanii watakaonogesha onesho la leo kuwa ni Maryse Ngalula kutoka Kinshansa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Elie Kamano ‘General Kamano’ wa Guinea, ambaye anapiga muziki wake katika...

Friday, November 16, 2012

Busara Promotions yaanda shindano la waandishi wa makala za mtandaoni na magazetini

Wandaaji wa tamasha la kila mwaka la Sauti za Busara, Busara Promotions wameandaa shindano la uandishi wa makala mbalimbali kuhusiana na tamasha hilo zitakazochapishwa mtandaoni na kwenye magazeti na washindi kuzawadiwa zawadi mbalimbali. Katika taarifa yake kwa waandishi wa habari, Busara Promotions imeandika: Hii ni stori kwa ajili ya waandishi, wachapishaji na wenye...

Song : Mr.Blue ft Man Walter – Nipende

Download H...

Wednesday, October 17, 2012

AMTZ to establish online swahli course

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Friday, October 12, 2012

DIAMOND: ASANTE SANA MSN KWA HESHIMA HII MLIYONIPA

Honestly nimejiskia furaha sana kuandikwa katika mtandao mkubwa kama huujuu ya kazi zangu za muziki ninazozifanya, tena kubwa zaidi ni kupewa heshima hii kubwa ya kuwa King of Bongo Flava...kiukweli imenipa matumaini sana ingawa nafsi yangu inaniambia Bado sistaahili kuitwa jina hilo kwani bado nna safari ndefu sana..... Hakika hii inaonesha ni jinsi gani support...

YVONNE MWALE KUPIGA 'SHOW' KATIKA SHEREHE ZA UHURU WA ZAMBIA

"Confirmed: Yvonne Mwale will perform at the celebrations for Zambia Independance Day, organized by the High Commision of Zambia to Tanzania. Zambians in Dar es Salaam, see you there!" ...

Monday, July 16, 2012

SERENGETI, MIKUMI, MANYARA TUNASHINDWA NINI KUFANYA HAYA?

Barabara kuu ya Ecoduct De Woeste Hoeve A50, Netherlands; Nchi ya Netherlands inaidadi kubwa ya wanyama zaidi ya 600 ambao hutumia daraja hilo la aina yake kuvuka barabara. HUU SI UHARIBIFU WA MAZINGIRA? ...

BREAKING Newzz>>>CHEGE apata ajali mbaya ya gari usiku huu Temeke

BREAKING: Msanii CHEGE apata ajali mbaya ya gari usiku huu Temeke Dar es salaam, ameumia ila gari halifai kabisa. Chanzo ni mtu wa pikipiki Dj Sek...

Saturday, July 14, 2012

Afande Sele azijibu shutuma za 20 Percent

Uswahiba kati ya wasanii wawili wa Bongo Flava nchini, Afande Sele na 20 Percent umeingia dosari baada ya kutupiana maneno kila mmoja kwa nyakati tofauti kwenye vyombo vya habari. Maneno hayo yalianza wiki iliyopita baada ya Afande Sele kuzungumza na Clouds FM na kudai kusikitishwa na kitendo cha swahiba wake 20 Percent cha kugoma kutumbuiza kwenye tuzo za muziki...

MAFANIKIO YA CHAMELEONE KATIKA MAISHA

. Baada ya kukutana na staa wa muziki kutoka Uganda Jose Chameleone nimegundua kuna mambo mengi nilikua nayasikia tofauti na kuyasoma ambayo yeye ameyazungumza tofauti kabisa.Nilikua sijui, kumbe Chameleone alianza kuenjoy kuwa staa kuanzia mwaka 2000 japo alianza muziki 1995, 2003/2004 ndio alianza kupata pesa na hapo ndipo maajabu yalianza kutokea kwa kuanza...

Friday, July 13, 2012

MAFUNZO YA MUZIKI 2012

...