Wednesday, November 21, 2012

Exclusive Photos: Behind the scenes ya video mpya ya Makamua – Bado Kujuana

Makamua ametoa picha exclusive za behind the scenes ya video yake mpya inayotarajiwa kutoka rasmi leo. Picha hizi ni za wimbo wake mpya “Bado Kujuana” ambayo amemshirikisha msanii mwenzake Dr Eddo ambaye ndiye aliyefanya production zote mbili za audio na video ambapo picha zote za video zimechukuliwa jijini Mwan...

Video : King Zilla ft Marco Chall – Nataka

...

SKYLIGHT BAND YAZIDI KUCHENGUA MASHABIKI @ THAI VILLAGE - MASAKI JIJINI DAR.

Pichani Juu na Chini Mashabiki wa SKYLIGHT BAND wakisakata mduara kwa raha zao katika ukumbi wa Thai Village jijini Dar es salaa...

Sunday, November 18, 2012

JB Mpiana kufanya Onyesho Dar Novemba 30

Mkurugenzi wa QS Muhonda J Entertainment, Joseph Muhonda (katikati) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) katika ukumbi wa Millennium Business Park, Kijitonyama jijini Dar es Salaam mapema leo asubuhi wakati akizungumzia onyesho la Mwanamuziki wa Kimataifa kutoka nchini Congo,JB Mpiana kwa kushirikiana na Mashujaa Band litakalofanyika katika viwanja...

Rose Muhando Kutikisa Tamasha la Shangwe Kagera

MWIMBAJI maarufu wa muziki  wa Injili nchini, Rose Muhando na mwenzake Enock Jonas (Zunguka) wanatarajiwa kutia chachandu katika tamasha la kwanza kubwa kufanyika Mkoani Kagera.Tamasha hilo la Shangwe Kagera lina lengo la kuielimisha jamii na kuamsha mwamko wa kusaidia watoto yatima na wanaoishi katika maisha magumu.Mkurugenzi wa Kampuni ya Beula Communications Ltd, ambao...

Saturday, November 17, 2012

Alliance Francois na onesho la utamaduni

na Khadija Kalili. KITUO cha Utamaduni cha Ufaransa ‘Alliance Francois’ kimeandaa onesho la bure la muziki wa utamaduni wa Mwafrika katika kituo chake kilichoko Barabara ya Ali Hassan Mwinyi, jijini Dar es Salaam leo jioni. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa kituo hicho, Michael Shuma, aliwataja wasanii watakaonogesha onesho la leo kuwa ni Maryse Ngalula kutoka Kinshansa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Elie Kamano ‘General Kamano’ wa Guinea, ambaye anapiga muziki wake katika...

Friday, November 16, 2012

Busara Promotions yaanda shindano la waandishi wa makala za mtandaoni na magazetini

Wandaaji wa tamasha la kila mwaka la Sauti za Busara, Busara Promotions wameandaa shindano la uandishi wa makala mbalimbali kuhusiana na tamasha hilo zitakazochapishwa mtandaoni na kwenye magazeti na washindi kuzawadiwa zawadi mbalimbali. Katika taarifa yake kwa waandishi wa habari, Busara Promotions imeandika: Hii ni stori kwa ajili ya waandishi, wachapishaji na wenye...

Song : Mr.Blue ft Man Walter – Nipende

Download H...