
Action Music Tanzania (AMTZ) inatangaza
fursa kwa watu wote kujiunga na mafunzo ya kupiga ala za muziki yanayoanza
desemba 19 mwaka huu, lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wanamuziki wa kupiga ala
na kufanya maonesho kwa weledi na utaalamu zaidi.
Mafunzo yanayotolewa ni pamoja na
upigaji wa ala za muziki zikiwemo gita, kinanda, tarumbeta, saxophone, konga,
drum set,...