Monday, December 16, 2013

FURSA: MAFUNZO YA KUPIGA ALA ZA MUZIKI

Action Music Tanzania (AMTZ) inatangaza fursa kwa watu wote kujiunga na mafunzo ya kupiga ala za muziki yanayoanza desemba 19 mwaka huu, lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wanamuziki wa kupiga ala na kufanya maonesho kwa weledi na utaalamu zaidi. Mafunzo yanayotolewa ni pamoja na upigaji wa ala za muziki zikiwemo gita, kinanda, tarumbeta, saxophone, konga, drum set,...

Thursday, December 12, 2013

Arts and culture contribute more to U.S. economy than tourism

For the first time the federal government has tallied up the arts and culture contribution to the nation’s economy. It turns out that sector, movies, painting, publishing, cable and more, was worth half a trillion dollars -- 3 percent to the gross domestic product in 2011. That’s more than the travel and tourism industry. “Here you have for the first time, comprehensive empirical evidence from the point of view of economists that the arts play a substantial role in the nation’s economy,”...

Tuesday, December 10, 2013

TANGAZO: WANATAFUTWA WAIMBAJI CHIPUKIZU WA MUZIKI WA UNJILI

HABARI   NJEMA   KWA   WAIMBAJI  CHIPUKIZI  WA  MUZIKI   WA    INJILI  TANZANIA. Wewe ni  kijana  wa  kikristo  uliye  okoka ? Una  karama  ya  uimbaji ? Unataka  kumtumikia  na  kumtangaza  Mungu  kwa  njia  ya  uimbaji  ? Kama  jibu  ni  ndio  basi  hii  ni  habari  njema  sana  kwako. Huduma  Ya  UPENDO  &...

Thursday, June 27, 2013

British Council yatoa mafunzo ya uongozi na biashara kwa viongozi wa taasisi za sanaa na sanaa za maonesho

 Washiriki katika mafunzo ya uongozi na biashara yananofanyika kwenye Ukumbi wa Nafasi Jijini Dar es Salaam wakifuatilia mafunzo hayo, washiriki hao wametoka katika taasisi mbalimbali zinazojishughulisha na sanaa na sanaa za maonesho. Mafunzo haya yanatolewa na Britishi Council, na mwezeshaji ni Faisal Kiwewa kutoka shirika la Bayimba la nchini Ugan...

Tuesday, May 14, 2013

GOETHE INSTITUT-TANZANIA INVITE YOU TO AN OPEN STAGE NIGHT

On our OPEN STAGE NIGHT we invite you to perform. Whatever your talents might be, everyone is welcome to show them on stage. Please register now by sending us an e-mail or call us.E-mail: intern@daressalaam.goethe.org, Tel.:  075 375 152 and Tell us what you are planning to perform and the required technical equipment.  Musicians can also...

Monday, May 13, 2013

USAJILI WA TUZO ZA MUZIKI ZA RFI WAANZA, WANAMUZIKI TANZANIA CHANGAMKIENI FURSA HII

Kwa usajili wa tuzo za muziki za rfi ambazo hufanyika kila mwaka na kuwashirikisha wanamuziki mbalimbali katika bara la Afrika bonyeza hapo chini rfi music award registrat...

Friday, May 10, 2013

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA SEMINA YA SOKO LA MUZIKI AFRIKA MASHARIKI 'DOADOA' JINJA UGANDA

 Washiriki katika semina ya kujadili changamoto za soko la muziki Afrika Mashariki wakifuatilia moja ya mada kwenye hotel ya Crasted Crane mjini Jinja, Uganda  Mwanmuziki kutoka Kenya, Winyo akitumbuiza katika moja ya matamasha yanayoambatana na semina ya kujadili changamoto katika soko la muziki Afrika Mashariki.  Wanamuziki wakiimba wimbo wa ushirikiano...

Wednesday, May 8, 2013

SEMINA YA KUJADILI CHANGAMOTO ZA SOKO LA MUZIKI AFRIKA MASHARIKI 'DOADOA' YAFANYIKA UGANDA

Waendesha mada katika semina ya kuangalia changamoto katika soko la muziki Afrika Mashariki na njia za kuzitatua wakijadili umuhimu wa elimu ya muziki katika soko la muziki, kutoka kulia ni Katibu Mtendaji wa Action Music Tanzania, Mandoli Kahindi, Mkurugenzi wa sanaa kutoka Global Music Academy Ujerumani,William Ramsay, Muaandaaji wa muziki wa Uganda, Kazi Kasozi na Mkurugenzi...